Wanadiplomasia hao wameeleza masikitiko yao kwa taifa la Tanzania kuondokewa na mwanadiplomasia mkongwe aliyebobea katika harakati za diplomasia Afrika na ulimwenguni kote.
Mungu ailaze roho ya marehemu Mahiga mahali pema.
Mungu ailaze roho ya marehemu Mahiga mahali pema.