Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 00:21

Mashindano ya Qur’an Tukufu ya 21 ya Afrika yafanyika Tanzania

Mashindano ya Quran yamefanyika mjini Dar es Salaam, Tanzania Jumapili, Aprili 25, 2021 na kushirikisha nchi 21 kutoka Bara la Afrika.

Mashindano hayo yamehudhuriwa na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mgeni rasmi katika mashindano hayo alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hussein Ali Mwinyi.

Viongozi wengine waliyoshiriki ni Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa na Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi Ally na viongozi mbalimbali wa dini nchini Tanzania.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG