Viongozi wa Afrika na Marekani wanaokutana mjini Washington, DC wamezungumzia utawala bora na ushirikiano katika mabadiliko ya hali ya hewa na pia wamejadili usalama wa chakula kukabili upungufu wa chakula katika bara hilo la Afrika. Marekani imeahidi kufanya kila linalowezekana kusaidia kuboresha uzalishaji wa mazao ya chakula katika nchi za Afrika. Ungana na mwandishi wetu Abdushakur Aboud akikuletea repoti kamili inayoeleza ahadi ya Rais wa Marekani kuhusu uhusiano kati ya pande hizo mbili...
Marekani yaahidi kuisaidia Afrika kuboresha uzalishaji wake wa chakula
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto