Kwa siku ya tatu chama cha Republikan kimeshindwa kumchagua Spika wa kuongoza Baraza la Wawakilishi Marekani. Kiongozi wa chama hicho ameshindwa kupata kura za kutosha. Shinikizo linaendelea. Ijumaa mzunguko wa 12 wa kumchagua spika wa baraza la wawakilishi Marekani umeanza na hakuna mgombea yeyote aliyepata kura 218 zinazohitajika. Wabunge 435 wa Marekani wameanza mzunguko wa 12 kumchagua spika wa baraza la wawakilishi ambapo hakuna matumaini kwa Kevin McCarthy kupata ushindi licha ya kufanikiwa kuongeza kura chache kutoka kwa wapinzani wake. Endelea kusikiliza historia ya uchaguzi wa Spika wa Marekani na yale ambayo yanatarajiwa kutokea kutoka kwa mchambuzi wetu. Endelea kusikiliza...
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto