Mpigania haki dhidi ya ubaguzi wa rangi na rais wa zamani wa Afrika Kusini atimiza miaka 95 tangu kuzaliwa
Mandela atimiza miaka 95
![Mjukuu wa Nelson Mandela Zondwa Mandela akigawa vifurushi vya chakula wakati watu wanasherehekea miaka 95 ya kuzaliwa Mandela kwa dakika 67 za huduma za umma kuadhimisha miaka 67 ambayo Mandela katika huduma ya umma huko Mamelodi nje kidogo ya Pretoria July 18, 2013.](https://gdb.voanews.com/45f39110-b83e-42c6-b90d-92620318cd7b_w1024_q10_s.jpg)
1
Mjukuu wa Nelson Mandela Zondwa Mandela akigawa vifurushi vya chakula wakati watu wanasherehekea miaka 95 ya kuzaliwa Mandela kwa dakika 67 za huduma za umma kuadhimisha miaka 67 ambayo Mandela katika huduma ya umma huko Mamelodi nje kidogo ya Pretoria July 18, 2013.
![Mjukuu mwingine wa Nelson Mandela Ndileka (kulia) akitoa supu kwa wananchi Pretoria July 18, 2013.](https://gdb.voanews.com/5dfdfb90-9a2e-4e47-a457-744ae4266d9b_w1024_q10_s.jpg)
2
Mjukuu mwingine wa Nelson Mandela Ndileka (kulia) akitoa supu kwa wananchi Pretoria July 18, 2013.
![Watoto wakiwa wameshikilia mabango walipokusanyika kumtakia Nelson Mandela siku njema ya kuzaliwa huko Atteridgeville, karibu na Pretoria, July 18, 2013.](https://gdb.voanews.com/ecc9a39e-ec8c-49a9-b500-c7979a7269de_w1024_q10_s.jpg)
3
Watoto wakiwa wameshikilia mabango walipokusanyika kumtakia Nelson Mandela siku njema ya kuzaliwa huko Atteridgeville, karibu na Pretoria, July 18, 2013.
![Mchoro wa Mandela katika moja ya dirisha la mjini Cape Town, South Africa, July 18, 2013.](https://gdb.voanews.com/4db67b06-5dee-40e1-b04a-70a541dbcf61_w1024_q10_s.jpg)
4
Mchoro wa Mandela katika moja ya dirisha la mjini Cape Town, South Africa, July 18, 2013.