Kifo cha kusikitisha cha Tyre Nichols kijana mweusi wa umri wa miaka 29 kutokana na kupigwa na polisi kikatili mwezi uliyopita. Kifo chake kimezusha tena mjadala kote Marekani kuhusu ukatili wa polisi na pia kuashiria kuwa maandamano ya kitaifa ya 2020 kufuatia mauaji mengine yaliyofanywa na polisi hayakusaidia katika kuleta mageuzi.
Matukio
-
Machi 30, 2024
Movie ya Nigeria ya Over the Bridge yashamiri
-
Januari 05, 2024
Maine yasema Trump hatokuwa kwenye orodha ya wagombea urais
-
Desemba 22, 2023
Matatizo ya kisheria dhidi ya Trump yaendelea kujitokeza