Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 06:09

Madereva wa magari ya kukodishwa kwa mtandao Afrika Kusini wagoma


Madereva wa magari ya kukodishwa kwa mtandao Afrika Kusini wagoma
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:59 0:00

Madereva wa magari ya kukodishwa kwa njia ya mtandao nchini Afrika Kusini wameandamana na wanataka serikali iwasaidie kuweka shinikizo kwa wamiliki wa uber, bolt na didi kuacha kuwanyanyasa.

XS
SM
MD
LG