Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 00:15

Maambukizi ya aina mpya ya virusi omicron yagunduliwa kote duniani


Maambukizi ya aina mpya ya virusi omicron yagunduliwa kote duniani
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Kesi zaidi za aina mpya ya virusi vya corona vinavyojulikana kama Omicron zimegunduliwa kote duniani.

Rwanda yasitisha kwa muda safari zake za ndege Kusini mwa Afrika kufuatia mlipuko wa aina mpya ya virusi omicron.

Mkutano wa nane kati ya Afrika na China umefunguliwa rasmi Jumatatu Dakar, Senegal.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
XS
SM
MD
LG