Baada ya kupoteza mifugo yao, wakazi wa eneo la Karamoja, Uganda wanageukia uchimbaji wa kiwango kidogo cha dhahabu kuweza kumudu maisha yao duni.
Uchimbaji dhahabu unaongezeka Karamoja Uganda

5
Water pipes laid by a large mining company conducting exploration in Karamoja, Uganda, March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)

6
Kimila wakarimojong ni wafugaji wanaozurura kwa sehemu ndogo, lakini mifugo yao inatoweka kwa haraka na hivyo kuwalazimisha watu kuanza uchimbaji, March 2, 2014. (Hilary Heuler for

7
Kichembe cha dhahabu ambacho mchimbaji wa kienyeji amekigundua kwenye ukingo wa mto, March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)

8
Mwanamke mkarimajong ana kung'uta mchanga ndani ya karai mbili za plastiki kutafuta dhahabu, March 2, 2014. Hilary Heuler / VOA News