- Nishangwe kuanzia Casablanca hadi Doha baada ya wawakilishi wa Afrika Morocco waliobaki huko Qatar kuwaangusha vigogo wa soka Ulaya Spain na kusonga mbele kwenye nane bora za Kombe la Dunia.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari