Wachambuzi, wanaharakati na waandishi habari katika kanda ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini wanasema matumaini makubwa yaliyokuwepo kutokana na mapinduzi yaliyongozwa na vijana kuanzia Tunisia, kupitia Misri kuelekea Libya, Yemen na hatimae Syria, ya kupigania mageuzi ya kijamii, uhuru wa kisiasa na kujieleza yalitoweka muda mfupi tu baada ya kuanza.
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
- Abdushakur Aboud
Matukio
-
Januari 25, 2021
#Wochit : Zijue athari kubwa za mabadiliko ya virusi vya Corona
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
Facebook Forum