Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Februari 10, 2025 Local time: 04:43

Kikundi cha waasi wa M23 chazidi kusonga mbele nchini DRC


Kikundi cha waasi wa M23 chazidi kusonga mbele nchini DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Hali ya usalama yazidi kuwa mbaya huku kukiwepo ripoti za kikundi cha waasi wa M23 wakisonga mbele.

Wakazi wa mji wa Goma waripoti kuendelea kwa mapigano kati ya vikosi vya DRC na waasi wa M23.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG