Hali haiko tofauti mjini Mombasa, Kenya ambapo kumeripotiwa matukio kadhaa ya wasichana kujiingiza kwenye vitendo vya ngono ili kusaidika kupata sodo na mahitaji mengine muhimu. Mwandishi wetu wa Kenya Amina Chombo ana taarifa kamili.
Zinazohusiana
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto