Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 05:41

Katibu Mkuu wa UN ashinikiza kumalizwa kwa vita vya Ukraine


Katibu Mkuu wa UN ashinikiza kumalizwa kwa vita vya Ukraine
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres Jumanne amekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergeĭ Viktorovich Lavrov mjini Moscow ambapo amekuwa akishinikiza kumalizwa kwa vita vya Ukraine

WHO imesema mgonjwa wa pili wa Ebola amefariki kaskazini magharibi mwa DRC.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG