Miongoni mwa mambo yaliyochangia kukoseshwa makazi ni vita nchini Ukraine ambapo ripoti inasema kwamba ni watu milioni 17, na mafuriko makubwa yaliyotokea Pakistani yamewakosesha makazi watu milioni nane.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari