Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 22:43

Hali yarejea kuwa yakawaida baadhi ya vijiji DRC


Hali yarejea kuwa yakawaida baadhi ya vijiji DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Hali yarejea kuwa ya kawaida katika baadhi ya vijiji DRC wakati mapigano kati ya jeshi la serikali na waasi wa M23 yakiendelea.

- Idara za usalama nchini Kenya zinafuatilia kwa karibu masuala ya usalama baada ya balozi za Ulaya kutoa tahadhari kuhusu uwezekano wa shambulizi la kigaidi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
XS
SM
MD
LG