Mashambulizi ya Paris- Dunia yatoa heshima za mwisho
Dunia yatoa heshima za mwisho katika mashambulizi ya Paris
5
Msichana akicheza nje ya ubalozi wa ufaransa huko Lima , Peru wakati wa sherehe za kuwakumbuka walioathiriwa na mashambulizi ya kigaidi huko Paris.
6
Mishumaa na mauwa vinaonekana mbele ya ubalozi wa ufaransa karibu na lango la Brandenburg huko Berlin, Germany, Nov. 15, 2015.
7
watu wakiwasha mishumaa nje ya ubalozi wa Ufaransa huko Lithuania, Nov. 15, 2015, kwa ajili ya waathiriwa wa ugaidi mjini Paris
8
Watu wakiwa wameshikilia bendera ya ufaransa wakati wakisubiri kutoa heshima zao kwa waathiriwa wa shambulizi la kigaidi mjini Paris huko Bucharest, Romania, Nov. 15, 2015.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017