Mashambulizi ya Paris- Dunia yatoa heshima za mwisho
Dunia yatoa heshima za mwisho katika mashambulizi ya Paris
![Mwanaume mmoja na watoto wake wawili wa kiume wakiwa katika ubalozi wa ufaransa nchini Marekani kutoa heshima zao kwa waliouwawa Paris kutokana na shambulizi la kigaidi.](https://gdb.voanews.com/2855bd3b-2b2a-45c6-a8e3-3c0878dbc871_w1024_q10_s.jpg)
1
Mwanaume mmoja na watoto wake wawili wa kiume wakiwa katika ubalozi wa ufaransa nchini Marekani kutoa heshima zao kwa waliouwawa Paris kutokana na shambulizi la kigaidi.
![watu wakiweka mauwa na kuwahsa mishumaa nje ya ubalozi wa Ufaransa kukumbuka waliokufa kutokana na shambulizi la kigaidi.](https://gdb.voanews.com/18d07a02-8101-4a09-8fe5-ba39b617ba4f_w1024_q10_s.jpg)
2
watu wakiweka mauwa na kuwahsa mishumaa nje ya ubalozi wa Ufaransa kukumbuka waliokufa kutokana na shambulizi la kigaidi.
![Mwanamke akitoa uwa kukumbuka waathiriwa dhidi ya shambulizi la Kigaidi mjini Paris](https://gdb.voanews.com/5e7a0d35-df0a-4210-8e3b-578a75304fc6_w1024_q10_s.jpg)
3
Mwanamke akitoa uwa kukumbuka waathiriwa dhidi ya shambulizi la Kigaidi mjini Paris
![Watu wakiwasha mishumaa mbele ya ubalozi wa Ufaransa huko Yangon, Myanmar, Nov. 15, 2015, kukumbuka waathiriwa wa shambulizi la kigaidi mjini Paris.](https://gdb.voanews.com/06f7d765-2393-4ea4-8cab-b25d1c220c21_w1024_q10_s.jpg)
4
Watu wakiwasha mishumaa mbele ya ubalozi wa Ufaransa huko Yangon, Myanmar, Nov. 15, 2015, kukumbuka waathiriwa wa shambulizi la kigaidi mjini Paris.