Mashambulizi ya Paris- Dunia yatoa heshima za mwisho
Dunia yatoa heshima za mwisho katika mashambulizi ya Paris
1
Mwanaume mmoja na watoto wake wawili wa kiume wakiwa katika ubalozi wa ufaransa nchini Marekani kutoa heshima zao kwa waliouwawa Paris kutokana na shambulizi la kigaidi.
2
watu wakiweka mauwa na kuwahsa mishumaa nje ya ubalozi wa Ufaransa kukumbuka waliokufa kutokana na shambulizi la kigaidi.
3
Mwanamke akitoa uwa kukumbuka waathiriwa dhidi ya shambulizi la Kigaidi mjini Paris
4
Watu wakiwasha mishumaa mbele ya ubalozi wa Ufaransa huko Yangon, Myanmar, Nov. 15, 2015, kukumbuka waathiriwa wa shambulizi la kigaidi mjini Paris.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017