Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Juni 25, 2026 Local time: 16:28
VOA Direct Packages

Duniani Leo : Juni 4 :Kenyatta aendelea kushutumiwa kuwaacha majaji wanaostahili kuteuliwa


Duniani Leo : Juni 4 :Kenyatta aendelea kushutumiwa kuwaacha majaji wanaostahili kuteuliwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aendelea kushutumiwa kwa kukosa kuwateuwa baadhi ya majaji waliokuwa wamependekezwa na tume ya huduma za mahakama.

-Mamia ya watu katika mkoa wa Kaskazini ya Ethiopia wa Tigray waendelea kukabiliwa na uhaba mkubwa wa Chakula.

- Dunia yajitayarisha kwa siku ya mazingira Jumamosi huku changamoto chungunzima zikiendelea kuwepo.

Makundi

XS
SM
MD
LG