Wanasayansi wa Taasisi ya Copernicus inayofuatilia viwango vya joto vya ulimwengu yaonya kuhusu kuongezeka kwa kiwango cha joto duniani wakisema kuwa utafiti unaonyesha mwaka 2021 ulikuwa na joto kali sana.
Duniani Leo: Jan 14: Wanasayansi waonya kuongezeka joto duniani
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari