Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 01:17
VOA Direct Packages

Duniani Leo: Jan 10: Marekani na Russia kuzungumzia mvutano wa Ukraine


Duniani Leo: Jan 10: Marekani na Russia kuzungumzia mvutano wa Ukraine
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wawakilishi wa Marekani na Russia wanakutana kujadili mivutano kwenye mpaka wa Russia na Ukraine.

Shule zafunguliwa Uganda baada ya kufungwa kwa takriban miaka miwili kutokana na janga la Corona.

Mashirika ya kutoa misaada yasitisha shughuli zake Tigray kufuatia mashambulizi ya makombora.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

Makundi

XS
SM
MD
LG