Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 17:08
VOA Direct Packages

Duniani Leo : Aprili 16 : Hayati RAIS wa Tanzania aenziwa na Umoja wa Mataifa


Duniani Leo : Aprili 16 : Hayati RAIS wa Tanzania aenziwa na Umoja wa Mataifa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:46 0:00

Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati John Pombe Magufuli ameenziwa Ijumaa kwenye kikao maalum cha Baraza la Umoja wa Mataifa, mjini New York, Marekani.

- Leo Ijumaa Polisi katika mji wa Indianapolis, Indiana, Marekani wanasema watu wanane wamepigwa risasi na kuuawa kwenye kituo cha FedEx na mshambuliaji wa bunduki ambaye alijiuwa.

Makundi

XS
SM
MD
LG