Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 07:57

Wanafunzi waandamana wamtaka Rais Tshisekedi afike Beni


Wanafunzi waandamana wamtaka Rais Tshisekedi afike Beni
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:50 0:00

Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari mjini Beni, Kivu kaskazini, mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia wameandamana na kumtaka Rais Tshisekedi kufika na kulitafutia ufumbuzi suala la amani yao ikiwa siku ya tatu tangu wanafunzi hao kuweka kambi katika ofisi ya Meya wa Beni.

XS
SM
MD
LG