Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 15:20

China yakasirishwa na ziara ya Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani nchini Taiwan


China yakasirishwa na ziara ya Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani nchini Taiwan
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:41 0:00

Ziara ya Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani Nancy Pelosi ikiwa ni afisa wa ngazi ya juu wa kwanza baada ya miaka 25 kuzuru Taiwan imeibua mvutano wa kidiplomasia huku China ikitoa onyo kwa Marekani italipiza kisasi.

XS
SM
MD
LG