Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Machi 22, 2025 Local time: 02:24

China yaapa kulipiza kisasi dhidi ya kile ilichosema ni ushuru wa kiholela wa Trump


China yaapa kulipiza kisasi dhidi ya kile ilichosema ni ushuru wa kiholela wa Trump
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

China imeapa kulipiza kisasi katika kile ilichosema ni ushuru wa kiholela wa utawala wa Trump.

Dunia imeanza kuadhimisha siku ya wanawake kuelekea kilele Machi 8 kauli mbiu ikiwa haki, usawa na uwezeshwaji kwa wanawake na wasichana.


Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.

#habari

XS
SM
MD
LG