Jenerali Honore Traore, Mkuu wa majeshi ya Burkina Faso alichukua rasmi madaraka ya nchi siku ya Ijuma kufuatia kujiuzulu kwa Rais Compaore baada ya maandamano ya wananchi kupinga juhudi za kubadili katiba ili kuongeza muda wa utawala.
Jeshi lachukua madaraka Burkina Faso
9
Wapinzani wa serikali wakiimba kwa furaha mbele ya makao makuu ya jeshi mjini Ouagadougou, Burkina Faso, Oct. 31, 2014.
10
watt wanasherekea kuondoka kea kiongozi wa muds mrefu wa Burkina Faso Rais Blaise Compaore mjini Ouagadougou, Burkina Faso, Oct. 31, 2014.
11
Mkuu wa majashi ya Burkina Faso Jenerali Honore Traore, (kati kati), akizungumza na maafisa wenzake kabla ya mkutano na waandishi habai kutangaza anachukua madaraka katika mii mkuu wa Ouagadougou, Burkina Faso, Oct. 31, 2014.
12
Picha ya zamani ya Rais Blaise Compaore aliyetangaza Ijuma Oktoba 31, 2014, kwamba anaacha madaraka na hivyo kufikisha kikomo miaka 27 ya utawala wake.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017