Ziara ya rais wa Marekani Joe Biden kwenye daraja lililoharibika na linaliunganisha majimbo ya Ohio na Kentucky akiandamana na kiongozi wa repablikan katika baraza la Seneti Mich McConell wiki hii kuonesha nia yake ya kushirikiana na upinzani. Ziara hiyoya rais pamoja na kiongozi wa warepbalikan inasisitiza pia azma ya tangu mwanzoni ya Biden ya ushirikiano wa kisiasa kuhusiana na masuala ya miundombinu, na masuala mengine muhimu kwa Wamarekani.
Biden atimiza ahadi ya ujenzi wa miundombinu Marekani
Matukio
-
Februari 04, 2023
Marekani na Ujerumani waridhia kupeleka vifaru vya kivita Ukraine
-
Januari 15, 2023
Marekani, Mexico na Canada kuimiarisha ushirikiano wa biashara
-
Desemba 26, 2022
Zelenskyy aeleza hana nia ya kufanya mashauriano na Russia