Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Aprili 17, 2024 Local time: 00:13

Biden atimiza ahadi ya ujenzi wa miundombinu Marekani


Biden atimiza ahadi ya ujenzi wa miundombinu Marekani
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:35 0:00

Ziara ya rais wa Marekani Joe Biden kwenye daraja lililoharibika na linaliunganisha majimbo ya Ohio na Kentucky akiandamana na kiongozi wa repablikan katika baraza la Seneti Mich McConell wiki hii kuonesha nia yake ya kushirikiana na upinzani.

Ziara ya rais wa Marekani Joe Biden kwenye daraja lililoharibika na linaliunganisha majimbo ya Ohio na Kentucky akiandamana na kiongozi wa repablikan katika baraza la Seneti Mich McConell wiki hii kuonesha nia yake ya kushirikiana na upinzani. Ziara hiyoya rais pamoja na kiongozi wa warepbalikan inasisitiza pia azma ya tangu mwanzoni ya Biden ya ushirikiano wa kisiasa kuhusiana na masuala ya miundombinu, na masuala mengine muhimu kwa Wamarekani.

XS
SM
MD
LG