Mgombea wa chama kikuu cha upinzani nchini Angola Adalberto Costa Junior amekuwa ni miongoni mwa wananchi wa Angola waliojitokeza jijini Luanda kupiga kura katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumatano.
Mgombea huyo ameeleza furaha yake na kuridhishwa na fursa aliyoipata kupiga kura pamoja na wananchi wengine.