Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 00:17

Angola: Mgombea wa upinzani Adalberto Costa aeleza furaha yake kupiga kura na wananchi


Angola: Mgombea wa upinzani Adalberto Costa aeleza furaha yake kupiga kura na wananchi
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:11 0:00

Mgombea wa chama kikuu cha upinzani nchini Angola Adalberto Costa Junior amekuwa ni miongoni mwa wananchi wa Angola waliojitokeza jijini Luanda kupiga kura katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumatano.

XS
SM
MD
LG