Matukio ya siku ya 7 tangu kuanza mapigano kati ya Israel na Palestina
Zaidi ya watu milioni moja wamelazimika kukimbia kutoka makazi yao kaskazini mwa ukanda wa Gaza mwishoni mwa wiki hii tangu Israel kuanza mashambulio dhidi ya kundi la Hamas, huku Umoja wa Mataifa ukionya hali ni mbaya kabisa katikia ukanda huo.
9
Margentina aliyejikuta kati kati ya vita kati ya Israel na Hamas akipokelewa na familia yake aliporudi nyumbani kwenye uwanja wa ndege wa Buenos Aires.
10
Buldoza ikiondosha vifusi kutafuta ikiwa kuna watu walofukizwa huku watu wakitizama katika mjaa mjini Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza.
11
Waandamanaji wakipeperusha bendera ya Palestina na mabango yenye maandishi yanayoiunga mkono watu wa Palestina mjini Madrid, Oktoba 15, 2023.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Forum