Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 11:05

Waziri Mkuu asimamisha sheria ambazo zimekuwa ni kero kwa wafanyabiashara soko la Kariakoo


Waziri Mkuu asimamisha sheria ambazo zimekuwa ni kero kwa wafanyabiashara soko la Kariakoo
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:16 0:00

Mkutano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Wafanyabiashara uliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Dar es Salaam umeleta tija baada ya Waziri Mkuu kusema kuwa sheria ambazo zimekuwa zikisababisha kero kwa wafanyabiashara zimesimamishwa. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili...

XS
SM
MD
LG