Waziri Mkuu asimamisha sheria ambazo zimekuwa ni kero kwa wafanyabiashara soko la Kariakoo
Mkutano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Wafanyabiashara uliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Dar es Salaam umeleta tija baada ya Waziri Mkuu kusema kuwa sheria ambazo zimekuwa zikisababisha kero kwa wafanyabiashara zimesimamishwa. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili...
Zinazohusiana
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.