Lakini wachambuzi wanasema soko la kubadilisha fedha za kigeni ambalo linadhibitiwa na serikali ndiyo linachochea tatizo. Zimbabwe ilianza kutumia tena sarafu yake mwaka 2019, lakini hivi sasa thamani iko katika zaidi ya 2,000 kwa dola moja ya Marekani kwenye soko la magendo. Serikali ina matumaini ya kuiachia sarafu ya dhahabu ya digitali ambayo itapunguza kushuka haraka thamani kwa dola ya Zimbabwe.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.