DRC: Vitisho kutoka kwa wanasiasa na magenge ya wahalifu vinawakabili waandishi
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya uhuru wa habari mwandishi wetu Byobe Malenga ambaye kituo chake cha kazi ni Kinshasa aeleza changamoto anazo kutana nazo katika eneo lake ambalo kwa kiasi fulani hughubikwa na ghasia ikiwemo vitisho, kufungwa jela na hata kupoteza maisha. Endelea kumsikiliza
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.