IMF yabaini kuwa uchumi wa duniani umegubikwa na mfumuko wa bei
Ubashiri wa uchumi wa dunia mwaka huu umegubikwa na mfumuko wa bei uliokithiri, kupanda kwa viwango vya riba na kutokuwa na uhakika kutokana na kuanguka kwa benki mbili kubwa za Marekani. Huo ni mtazamo wa Shirika la Fedha Duniani, ambalo Jumanne lilitoa ubashiri wake wa ukuaji wa uchumi duniani.
Matukio
-
Aprili 07, 2023
Trump afikishwa mahakamani kujibu mashtaka
-
Machi 17, 2023
Mhandisi wa ndege kutoka Burundi ashinda tuzo Marekani
-
Machi 10, 2023
White House yatoa tuzo kwa wanawake wajasiri duniani
-
Machi 03, 2023
Wabunge wa Marekani kuanzisha uchunguzi dhidi ya China