IMF yabaini kuwa uchumi wa duniani umegubikwa na mfumuko wa bei
Ubashiri wa uchumi wa dunia mwaka huu umegubikwa na mfumuko wa bei uliokithiri, kupanda kwa viwango vya riba na kutokuwa na uhakika kutokana na kuanguka kwa benki mbili kubwa za Marekani. Huo ni mtazamo wa Shirika la Fedha Duniani, ambalo Jumanne lilitoa ubashiri wake wa ukuaji wa uchumi duniani.
Matukio
-
Machi 30, 2024Movie ya Nigeria ya Over the Bridge yashamiri
-
Januari 05, 2024Maine yasema Trump hatokuwa kwenye orodha ya wagombea urais
-
Desemba 22, 2023Matatizo ya kisheria dhidi ya Trump yaendelea kujitokeza