Marekani imezitaka pande zote za kisiasa nchini Kenya kujiepusha na ghasia na fujo na pia vyombo vya usalama kutotumia nguvu kupita kiasi. Marekani imeeleza inasikitishwa na kupotea kwa maisha na uharibifu wa mali. Ungana na mwandishi wetu akikuletea yale ambayo Marekani inaamini katika demokrasia na nini kiongozi wa upinzani anaendelea kusimamia. Endelea kusikiliza...
Zinazohusiana
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.