Katika taarifa yake Rais wa Marekani Joe Biden amesema amechukua hatua hiyo kama heshima kwa walioathiriwa na vitendo visivyokuwa na maana vya vurugu vilivyotokea Jumatatu huko Nashville.
Mshambuliaji mwenye silaha nzito Audrey Hale mwenye umri wa miaka 28 , mwanafunzi wa zamani wa shule ya Covenant , aliyetambuliwa kama mtu aliyebadili jinsia aliuawa wakati akipambana na maafisa wa polisi watano wakati wa shambulizi hilo lililotokea kwenye ghorofa ya pili katika shule ya Presbyterian ambayo inahusiana na kanisa , maafisa wamesema.
Marekani: Wanafunzi watatu na watu watatu wauawa katika shambulizi la bunduki shule ya Nashville
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.