Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 18:54

Macron aelezea imani kwamba amani itarejea mashariki mwa DRC kuanzia Jumanne


Macron aelezea imani kwamba amani itarejea mashariki mwa DRC kuanzia Jumanne
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, akiwa nchini DRC, kituo cha mwisho cha ziara yake barani Afrika, amesema kuwa pande zote zinazozozana katika mgogoro wa kiusalama unaokumba mashariki mwa nchi hiyo, zitaheshimu makubaliano ya usitishaji wa mapigano.

XS
SM
MD
LG