Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:37

UCHAGUZI NIGERIA: Tinubu aendelea kuongoza katika majimbo kadhaa


UCHAGUZI NIGERIA: Tinubu aendelea kuongoza katika majimbo kadhaa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:53 0:00

Shughuli za kuhesabu kura ziliendelea Jumatatu nchini Nigeria kufuatia uchaguzi mkuu wa Jumamosi ambapo mgombea urais kwa tikiti ya chama kinachotawala aliendelea kuongoza kwa wingi wa kura kutoka majimbo kadhaa huku nayo tume ya uchaguzi ikishutumiwa kwa changamoto zilizogubika mchakato huo.

XS
SM
MD
LG