Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 03:36

Papa Francis akamilisha ziara yake ya Sudan Kusini na DRC

Papa Francis amekamilisha ziara yake ya siku 6 nchini Sudan Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa Misa Takatifu kwenye uwanja wa makumbusho wa John Garang, mjini Juba, siku ya Jumapili.

Akiwa katika nchi hizo mbili Papa Francis alitoa ujumbe muhimu wa kutaka mapigano na ghasia kukomeshwa mara moja, na kudumishwa kwa amani katika nchi hizo mbili za Afrika ya Kati.


Makundi

XS
SM
MD
LG