Mkazi wa Dandora mjini Nairobi anaeleza namna mto unaopita katika mtaa wao ulivyokuwa msafi walivyokuwa wadogo kiasi cha kuuvuka bila ya kuvaa viatu. Lakini anaeleza hivi sasa uchafuzi wa mazingira umefanya kuwa na chupa na takataka nyingine na hivyo watoto hawawezi kuvuka pekupeku kama ilivyokuwa zamani. Endelea kusikiliza.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC