Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 14:15

Je, Arsenal wanaweza kuwa wapinzani wa muda mrefu wa Manchester?


Je, Arsenal wanaweza kuwa wapinzani wa muda mrefu wa Manchester?
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:27 0:00

Katika kona ya michezo hii leo Pep Guardiola anaamini Arsenal wanaweza kuwa wapinzani wa muda mrefu wa Manchester City. Ungana na mwandishi wetu akikuletea utabiri huo na michuano mengine huku akikupa taarifa za michuano mbalimbali. Endelea kumsikiliza...

XS
SM
MD
LG