Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Machi 20, 2023 Local time: 19:35

Utawala wa Somaliland wakubali kusitisha mapigano bila masharti


Utawala wa Somaliland wakubali kusitisha mapigano bila masharti
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Utawala wa mkoa uliojitenga kutoka Somalia wa Somaliland ulisema Ijumaa jioni kuwa umekubali kusitisha mapigano bila masharti, kufuatia siku tano za mapigano mashariki mwa eneo hilo ambalo wahudumu wa afya wanasema yameua darzeni ya watu.

XS
SM
MD
LG