Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 20:53

Papa Francis amekamilisha ziara yake huko DRC na sasa ameshawasili nchi ya Sudan Kusini kwa ziara nyingine


Papa Francis amekamilisha ziara yake huko DRC na sasa ameshawasili nchi ya Sudan Kusini kwa ziara nyingine
please wait

No media source currently available

0:00 0:59:59 0:00

Papa Francis amelisihi taifa la DRC kujenga amani huku akiwataka vijana kupendana kwa maslahi ya taifa lao. Mtazamo kama huo unabashiriwa kujitokeza Sudan Kusini katika nchi yenye utajiri wa mafuta ambayo pia inapitia mapigano

XS
SM
MD
LG