Marais Joe Biden wa Marekani, na Andrés Manuel López Obrador wa Mexico pamoja na waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau, walitanagza hayo baada ya mkutano wao wa kila mwaka ulofanyika Mecixo City Januari 13, 2023. Viongozi hao walikubaliana pia juu ya namna ya kukabiliana na wimbi la wahamiaji wanaoingia Marekani kinyume cha sheria kupitia Mexico.
Matukio
-
Februari 04, 2023
Marekani na Ujerumani waridhia kupeleka vifaru vya kivita Ukraine
-
Januari 10, 2023
Biden atimiza ahadi ya ujenzi wa miundombinu Marekani
-
Desemba 26, 2022
Zelenskyy aeleza hana nia ya kufanya mashauriano na Russia
Facebook Forum