Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 01:39

Marekani, Mexico na Canada kuimiarisha ushirikiano wa biashara


Marekani, Mexico na Canada kuimiarisha ushirikiano wa biashara
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:48 0:00

Viongozi wa Marekani, Mexico na Canada wameahidi kuimairsha ushirikiano wa bishara na viwanda pamoja na kupambana na biashara haramu ya dawa za kulevya.

Marais Joe Biden wa Marekani, na Andrés Manuel López Obrador wa Mexico pamoja na waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau, walitanagza hayo baada ya mkutano wao wa kila mwaka ulofanyika Mecixo City Januari 13, 2023. Viongozi hao walikubaliana pia juu ya namna ya kukabiliana na wimbi la wahamiaji wanaoingia Marekani kinyume cha sheria kupitia Mexico.

XS
SM
MD
LG