Msemaji wa Rais Fleix Tshisekedi, Tina Salama ameiambia Sauti ya Amerika kwamba viongozi wa kanda ya maziwa makuu wamekubaliana kwamba kuna haja ya kutekeleza makubaliano ya Luanda na Nairobi kwa haraka iwezekanavyo.
Viongozi wa Kanda ya Maziwa Makuu wazungumzia juhudi za amani DRC walipokutana Washington
- Abdushakur Aboud