Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:30

Wasomi nchini Tanzania wanaiomba serikali kuanzisha makumbusho ya Bibi Titi Mohamed yawe chachu ya maendeleo kwa wanawake na uongozi


Wasomi nchini Tanzania wanaiomba serikali kuanzisha makumbusho ya Bibi Titi Mohamed yawe chachu ya maendeleo kwa wanawake na uongozi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Miongoni mwa wasomi hao Profesa Aldin Mutembei na Profesa Shani Omary wanasema mchango na maono ya Titi Mohamed na harakati zake za kupigania uhuru wa Tanganyika itasaidia vizazi vya sasa na kupanua wigo kwa wanawake kujitokeza kwa nafasi mbalimbali wasisubiri kuwezeshwa

XS
SM
MD
LG