Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Januari 24, 2025 Local time: 03:41

Mtaalamu wa afya wa cheo cha juu katika serikali ya China anaonya juu ya kuongezeka kwa visa vya COVID-19 nchini humo


Mtaalamu wa afya wa cheo cha juu katika serikali ya China anaonya juu ya kuongezeka kwa visa vya COVID-19 nchini humo
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mtaalamu wa magonjwa ya milipuko Zhong Nanshan aliviambia vyombo vya habari vya serikali katika mahojiano yaliyochapishwa Jumapili kwamba virusi vipya aina ya Omicron vilivyoenea nchini China vinabadilika sana na vinaweza kusababisha kuongezeka kwa visa vya maambukizi

XS
SM
MD
LG