Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 19:46

Viongozi wa upinzani Kenya wakiongozwa na Raila Odinga wameanza mikutano ya hadhara ya kisiasa dhidi ya utawala wa Rais William Ruto


Viongozi wa upinzani Kenya wakiongozwa na Raila Odinga wameanza mikutano ya hadhara ya kisiasa dhidi ya utawala wa Rais William Ruto
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Viongozi hao wanashtumu utawala wa Ruto kwa kushindwa kurejesha chini gharama ya juu ya maisha, kuwatimua kwa lazima makamishna wa tume ya uchaguzi, ukiukaji wa katiba katika uteuzi wa wasimamizi wa ofisi za umma pamoja na utekelezaji wa mfuko wa fedha usiokingika kisheria

XS
SM
MD
LG