Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 20:35

Kenyatta atembelea Goma wakati mapigano yakiendelea karibu na mji huo wa mashariki ya Congo


Kenyatta atembelea Goma wakati mapigano yakiendelea karibu na mji huo wa mashariki ya Congo
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:55 0:00

Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta alitembelea mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wapiganaji wa kundi la M23 walikuwa wanapigana jeshi la taifa FARDC, kaskazini mwa mji huo.

XS
SM
MD
LG