Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 11:36

Katibu Mkuu wa NATO anasema mlipuko karibu na mpaka wa Ukraine huenda ulisababishwa na kombora la Ukraine lililofyatuliwa dhidi ya Russia


Katibu Mkuu wa NATO anasema mlipuko karibu na mpaka wa Ukraine huenda ulisababishwa na kombora la Ukraine lililofyatuliwa dhidi ya Russia
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Brussels baada ya mkutano wa Baraza la Atlantiki Kaskazini, Katibu Mkuu wa NATO, Jens Stoltenberg anasema washirika wote wa NATO walikubaliana na tathmini hiyo ambayo ilitokana na uchunguzi wa awali na kwamba uchunguzi zaidi unaendelea.

XS
SM
MD
LG