Akizungumza na waandishi wa habari mjini Brussels baada ya mkutano wa Baraza la Atlantiki Kaskazini, Katibu Mkuu wa NATO, Jens Stoltenberg anasema washirika wote wa NATO walikubaliana na tathmini hiyo ambayo ilitokana na uchunguzi wa awali na kwamba uchunguzi zaidi unaendelea.